1 / 10

Ha ha haaa…tehe tehe….mwe…Yaani tunaingia Ikulu?

Ngee ngee…yuhuu, kama li komandoo fulani hivi, mtu mzima naingia Ikulu. Ha ha haaa…tehe tehe….mwe…Yaani tunaingia Ikulu?. Aaagh…Lissu Vp? Watu wakisikia noma mkubwa. Masikini, yule dogo ana mba kichwani. Halafu hajala.

ting
Download Presentation

Ha ha haaa…tehe tehe….mwe…Yaani tunaingia Ikulu?

An Image/Link below is provided (as is) to download presentation Download Policy: Content on the Website is provided to you AS IS for your information and personal use and may not be sold / licensed / shared on other websites without getting consent from its author. Content is provided to you AS IS for your information and personal use only. Download presentation by click this link. While downloading, if for some reason you are not able to download a presentation, the publisher may have deleted the file from their server. During download, if you can't get a presentation, the file might be deleted by the publisher.

E N D

Presentation Transcript


  1. Ngee ngee…yuhuu, kama li komandoo fulani hivi, mtu mzima naingia Ikulu Ha ha haaa…tehe tehe….mwe…Yaani tunaingia Ikulu? Aaagh…Lissu Vp? Watu wakisikia noma mkubwa.

  2. Masikini, yule dogo ana mba kichwani. Halafu hajala Hehehe…si mnaona makochi yake yalivyo magumu? ndiyo maana mshikaji huwa huwa hakai nchini? Mh..jamani mimi machale yananicheza. Hawa jamaa walivyo na makusudi, wanaweza kutuletea nyungo za mchele tuchambue hapa

  3. Yaani haka kajamaa, kananifurahisha kweli, kila raisakinunua nguo nako kananunua ili wafanane, basi nako kanajiona ka rais fulani hivi. Sasa Baregu wewe andika majina ya wenzako na vyakula watakavotumia Hee… kumbe kuna kula….mimi nitakula Chips kuku

  4. Aaah..poa nashukuru kwa kunitonya mwana. Tena rais yuleee, usimuangalia usoni moja kwa moja, anaweza huwa hapendi anaweza akatutoa nje

  5. Tehe tehe na wewe ndiyo unaitwa nani vilee? Aah…mkuu inamaana mimi hunifahamu? Mimi si yule wa Bungeni, muulize welema, kombani na anna maspika. Okeey…nimekumbuka, ikifika zamu yako kuongea TBC huwa wanzimaga matangazo. Nilipowauliza kwa nini wakasema huwa unatakanaga.

  6. Hii siinywi mimi hii, nitaishikilia mpaka tunapoondoka nairudisha Mxzyxz….majuice ya kazi gani? Watu tulijua leo ni makuku tu Ukitaka ku….. Usimuangalie usoni

  7. Hii ndiyo nini hii….mbona yapo mengi hivi Aaaah wewe soma tu humo mzee si imeandikwa kila kitu? Angejua mimi ninavyochukia kusoma mineno mingi mingi!

  8. Acha maisha yako ya kwenye Sinema Dogo, yaani kuvaa Magwanda ndiyo unajitanua na kuniminya mkono hivi? Mwenyewe unajiona Komando Joohn au? Tehe tehe…si unajua tena, mambo ya picha mzee…wengine tuna mashabiki nje Tehe the…mheshimiwa rais bwana…kamshitukia mshikaji Aikaeli.

  9. Mkimaliza kusalimiana na mimi naomba nimsalimie mheshimiwa waziri Bila ya kuvunja ukimya hapa unaweza kuondoka ikulu bila kushikana mkono na yeyote.

  10. Yaani mimi ndiyo naweza kuwa bonge la poyoyo, yaani hapa nilipo hata sijui kwa nini nacheka cheka.. Hizi Picha za kupiga na rais ndiyo za kuombea mafungu kwa wafadhili Yaani mimi hapa naona maluwe luwe tu..

More Related